TANGAZO TIGO

Tuesday, August 23, 2016
NANI BINGWA AJTC KATI YA DIPLOMA NA CERTIFICATE MECHI YA KIRAFIKI IJUMAA WIKI HII
Kikosi cha diploma kimejipanga vyema kuelekea mechi ya kirafiki dhidi ya certificate mechi itakayopingwa katika uwanja wa fid force jijini arusha kunako siku ya ijumaa wiki
kuelekea mchezo huo mshambuliaji wa timu hiyo ya diploma rogers fedinard amesema kuwa wanaendelea kujifua vyema na mazoezi ili kuhakikisha wanaibuka mabingwa na kujinyakulia kitita cha zawaadi
Katika mechi iliyopita diploma waliweza kuibuka na ushidi wa mabao 5-4 katika uwanja wa fid force jijini arusha na hivyo wanatamba na kusema wanakila sababu ya kuibuka na ushidi katika mechi hiyo
Kwa upande wake msemaji wa timu hiyo Erick felinyo amesema kikosi kipo imara na wamejipanga vyema na watahakikisha wanaibuka mabingwa na kwa upande wa majeruhi hakuna mchezaji aliye majeruhi
kikosi cha ajtc diploma kitakachovaana na certificate ni kipa atakuwa felix faustine ,richard ngailla. jastine mkata. salum juma langa .hababi mohamendi .erick wanjala. jaksoni mabula . deogratusi festo . na rogers fedinards
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment