TANGAZO TIGO

TANGAZO TIGO

Wednesday, November 23, 2016

MAN CITY YACHOMOA UJERUMANI, SARE 2-2 LIGI YA MABINGWA

Kiungo wa Hispania  David Silva (kulia) akiushuhudia mpira alioupiga ukielekea nyavuni dakika ya 45 na  kuipatia Manchester City bao la kusawazisha .

katika sare ya 1-1 na wenyeji, Borussia Monchengladbach Uwanja wa  Borussia-Park mjini Monchengladbach katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la wenyeji lilifungwa na Raffael dakika ya 23 .

POSTED BY MINDI JOSEPH

No comments:

Post a Comment