Kiungo wa Hispania David Silva (kulia) akiushuhudia mpira alioupiga ukielekea nyavuni dakika ya 45 na kuipatia Manchester City bao la kusawazisha .
katika sare ya 1-1 na wenyeji, Borussia Monchengladbach Uwanja wa Borussia-Park mjini Monchengladbach katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la wenyeji lilifungwa na Raffael dakika ya 23 .
katika sare ya 1-1 na wenyeji, Borussia Monchengladbach Uwanja wa Borussia-Park mjini Monchengladbach katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la wenyeji lilifungwa na Raffael dakika ya 23 .
POSTED BY MINDI JOSEPH
No comments:
Post a Comment