TANGAZO TIGO

TANGAZO TIGO

Wednesday, November 23, 2016

MESSI AIFUNGIA MABAO YOTE BARCELONA YASHINDA 2-0 SCOTLAND


Muargentina Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao yote dakika za 24 na 55 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Celtic.

 Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Barca imesonga mbele pamoja na Manchester City 


POSTED BY MINDI JOSEPH

No comments:

Post a Comment